▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼
Mapambano makali yameibuka jirani na mji wa Allepo kaskazini mwa Syria
wakati majeshi ya Serikali yakijaribu kuwazunguka waasi waliojificha
katika mahandaki.
Kundi la Wachunguzi wa Haki za Binadamu la Syria limesema wanajeshi
zaidi ya 120 kutoka katika pandezote mbili wameuawa kwenye mji wa Ratyan
Ijumaa hii.
Zaidi ya wakimbizi 20, 000 walikimbia mapigano yanayoendelea wakijaribu kuvuka mpaka wa Syria kuelekea nchini Uturuki.
Uturuki imesema imejiandaa kuwasaidia wakimbizi ingawa mipaka imefungwa. Siku chache zilizopita majeshi ya Syria yalisaidiwa msaada wa silaha za anga na majeshi ya Urusi katika mji wa Allepo.
Uturuki imesema imejiandaa kuwasaidia wakimbizi ingawa mipaka imefungwa. Siku chache zilizopita majeshi ya Syria yalisaidiwa msaada wa silaha za anga na majeshi ya Urusi katika mji wa Allepo.
Ijumaa hii televisheni ya Taifa ya nchini Syria ilisema majeshi ya waasi
yaliuteka mji wa Ratyan ulioko kaskazini kidogo mwa mji wa Allepo.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by AFROPIXELS PLUGIN


Chapisha Maoni