▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼
Uongozi wa klabu ya Manchester United umefanya mazungumzo na wawakilishi wa Kocha aliyeachwa na Chelsea, Jose Mourinho.
Mourinho, 53 aliefukuzwa na Chelsea mwezi Desemba ana matumaini makubwa ya kupata kibarua hicho akimrithi Louis van Gaal ambaye amekua na wakati mgumu Old Trafford kufuatia kiwango hafifu cha timu hiyo kwa miezi ya karibuni.
Hakuna maelewano rasmi yaliyofikiwa baina ya pande hizo mbili na klabu haijatoa taarifa yoyote rasmi lakini kuna kila dalili akapata dili hilo huku ujio wa kocha Pep Giardiola ukiongeza hamasa ya Morinho kubakia England ili apambane na hasimu wake wa zamani akiwa Real Madrid.
Van Gaal anajiandaa kuiacha klabu hiyo baada ya msimu huu, ikiwa ni msimu mmoja tofauti na ilivyotarajiwa kama mkataba wake unavyosema.
Hii inatoa picha kuwa Mourinho ndiye mrithi pekee wa Van Gaal baada ya msimu huu. Mreno huyo hajafanya mazuzngumzo na klbau yoyote toka aachie ngazi Stamford Bridge na United haijawasiliana na kocha yeyote toka Manchester United iwe na matokeo mabovu ikiwemo kutolewa kwenye Michuano ya klabu bingwa Ulaya, UEFA.
That would leave the way clear for Mourinho, who is known to be excited by the prospect of taking over at Old Trafford.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by AFROPIXELS PLUGIN


Chapisha Maoni