▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO CLICK HERE DOWN▼▼▼

Kipa wa Stoke City, Mwingereza Jack Butland ametoa Euro 5,000 kwa ajilim ya timu ya Taifa ya Wanawake Uingereza ya Viziwi ili waweze kushiriki michuano ya Kombe la Dunia ya Viziwi nchini Italy June mwaka huu.
Butland aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa amejifunza mengi sana kutoka kwenye michuano mikubwa na amepata uzoefu mkubwa kwahyo alitaka kuwasaidia nao wapate uzoefu huo.
Pamoja naye, wachezaji wengine wa Kiingereza Lucy Bronze, Jade Moore, Jo Potter na Fran Kirby wamechangia ili kufanikisha jambo hilo huku kiwango kinachohitajika ni Euro 20, 000.
Butland, ambaye amecheza mechi tatu na England, pia ni balozi wa kampeni ya ubaguzi wa rangi ya Kick Out Discriminatio.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by AFROPIXELS PLUGIN


Chapisha Maoni